Wiki hii katika Maktedis Podium: Wafahamu "Super Triple" Hemedi (King Sofa), Jumanne na Rashid (Gaga)..Ni vijana wajasiliamali na wamiliki wa karakkana maarufu hapa sengerema..Sengerema Furniture!
Wote kwa pamoja ni wazawa wa jiji la Dar es Salaam lakini walihamia Sengerema baada ya kuona "FURSA" ya uhaba wa mafundi na wataalam wa kutengeneza sofa na furniture mbalimbali za ndani kama vile..kabati, dressing table n.k